JUMAPILI KUU YA MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO-11/06/2023

MATANGAZO:  JUMAPILI KUU YA MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO – 11/06/ 2023

  1. Leo ni Jumapili ya fungu la kumi,kwa wakristo ambao wamejitayarisha na pia wale ambao wametuma fungu lao la kumi  kwa paybill ya kanisa  tunawaalika wajongee mbele kwa maombi na baraka.Tunapokuja mbele tunaombwa kuweka nia zetu pamoja na fungu la kumi tunalomtolea Mungu.Paybill ya kanisa ni 4042525 account Tithe.
  2. Leo, Kanisa linasherehekea Siku Kuu ya Mwili na Damu ya Kristo (Corpus Christi). Punde tu baada ya Misa hii, kutakuwa na ibada ya kumwabudu Bwana wetu Yesu Kristu, aliye hai katika Sakramenti Takatifu ya Ekaristi.
  3. Wakristo ambao waliacha kupokea  na hawako kwa ndoa na wangependa kurudi kupokea Sakramenti Takatifu, wanaombwa kuona Padre kwa ofisi siku na masaa ya kazi au, wapige simu kujadiliana na Padre siku ingine yeyote wanaweza kupatikana.
  4. Josil Ushindi group watakuwa na siku ya maombi Jumamosi ijayo tarehe 17/06/2023 kuanzia saa tatu asubuhi.
  5. Kikundi cha kina Baba (CMA) wanaalikwa kwa mafundisho yao Jumapili ijaya ya tarehe 18th June 2023 baada ya Misa ya kwanza
  6. Padre kutoka Lodwar atatembelea Parokia yetu Jumapili ijayo tarehe 18th Juni 2023. Kupongeza Wakristo kwa ukarimu ambao tumeonyesha   familia ya Lodwar na pia kuomba msaada ili aweze kuendelea kuhudumia wakristo wa Lodwar.  Wakristo wanakaribishwa kuchukua bahasha ambazo tutamkabidhi mgeni wetu Jumapili ijayo.
  7. Tumeanza usajili wa Watoto wachanga kwa ajili ya ubatizo. Wazazi wanaopenda Watoto wao wachanga wabatizwe wanaombwa kujiandikisha katika Jumuiya zao.

          Jumuiya service

            Jumapili Hii                                                               Jumapili Ijayo

1st Mass: St. Rita                                                      1st Mass: St. Gabriel

2nd Mass: St. Timothy                                              2nd Mass: CWA

 

FEAST OF CORPUS CHRISTI ANNOUNCEMENT (04/06/2023)

 

  1. We thank the good Lord for our work and business. On this First Sunday of the month, we invite those who have their Tithe, and those who paid directly to the Bank and Pay bill, we also invite parishioners who have redeemed their pledges this month to come forward for prayers and blessings. The Church Pay bill Number is 4042525 Account tithe
  2. We would like to thank our Jumuiya members and Parishioners who have already returned their tetra packs with their Lenten Campaign contributions. We urge all the Jumuiya Chairpersons to ensure that the remaining tetra packs are submitted through their respective Jumuiya treasurers to the CJPD desk after Mass. Those who did not get tetra packs can still make their contributions through our Church Pay bill 4042525, Account No: “LENTEN”
  3. The YOUNG CHRISTIAN WORKERS (YCW) is a transitional group between the Youth and Catholic Women Association and the Catholic Men Association. The devotional group cordially invites all parishioners of age 25-40 to join the group. Renewal and registration of new members will be taking place after mass. For more information regarding the group, there are representatives of the group outside the church to assist you with all enquiries.
  4. Doctors from Equity Afia Kitengela Branch have visited our parish today to offer free medical camp, we are encouraged to pass by their tent for body check-ups and medical advice.
  5. The PMC registration is ongoing, all the parishioners are requested to register all children ages 3yrs to 13yrs. Registration fee is 100/= per child. Registration is ongoing outside the PMC classes Note: Parishioners with children below 3yrs are requested NOT to leave the children in PMC class unattended.
  1. Infant baptism registration is ongoing and parents are requested to register through their Jumuiyas.
  2. Senior youth from Cathedral Ngong have visited our youths today

Jumuiya service

1st Mass: St. Raphael                           1st Mass: St. Rita

2nd Mass: Senior youth                         2nd Mass: Timothy

 

Matangazo ya 4/06/2023

MATANGAZO: 04/06/2023

  1. Leo ni Jumapili ya fungu la kumi,kwa wakristo ambao wamejitayarisha na pia wale ambao wametuma fungu lao kwa paybill ya kanisa na pia wakristu ambao wamelipa ahadi zao mwezi huu tunawaalika wajongee mbele kwa maombi na Baraka.Tunapokuja mbele tunaombwa kuweka nia zetu pamoja na fungu la kumi tunalomtolea Mungu.Paybill ya kanisa ni 4042525 account
  2. Tunawashukuru kwa dati wakristu wote ambao wamerudisha tetrapacks zao pamoja na mchango wao wa kampeni ya kwaresma.Wenyekiti wa Jumuiya zote wanaomba wahakikishe kwamba tetrapacks ambazo bado zimebaki zimerudishwa kwa meza ya CJPD pale nje baada ya misa hii kupitia kwa mweka hazina wa Jumuiya.
  3. The YOUNG CHRISTIAN WORKERS (YCW) ni kikundi cha mpito kati ya Jumuiya ya Vijana na Wanawake Wakatoliki na Jumuiya ya Wanaume Wakatoliki. Kikundi hiki kinawaalika waumini wote walio kati ya miaka 25-40 kujiunga na kikundi.

Usajili wa wanachama wapya utafanyika baada ya misa hii. Kwa habari zaidi kuhusu kikundi, kuna wawakilishi wa kikundi nje ya kanisa kukusaidia kwa maswali yote.

  1. Waunguzi kutoka Equity Afia wametembelea Parokia yetu leo kutoa huduma za afya kwa wakristu wote.Tunaombwa tupitie kwenye hema yao pale nje kwa ajili ya kupata huduma za afya ya mwili
  2. Usajili wa PMC unaendelea wazazi/walezi wanaombwa kusajili watoto wao walio kati ya miaka tatu na kumi na tatu (3-13yrs) kwa shilingi 100/= Kule kwa njengo la Sunday school.

Wazazi na walezi walio na watoto chini ya miaka tatu wanaobwa wasiwache watoto hawa peke yao kwa Sunday school.

  1. Usajili wa ubatizo wa watoto wachanga umeanza,wazazi wanaombwa kuandikisha watoto wao kupitia kwa Jumuiya.
  2. Vijana kutoka Cathedral Ngong wametembelea Vijana wetu leo.

 

Jumuiya service

1st Mass: St. Raphael                        1st Mass: St. Rita

2nd Mass: Senior youth                    2nd Mass: Tomothy

Matangazo ya Siku Kuu ya Pentekoste,28/05/2023.

MATANGAZO – PENTECOST SUNDAY 28/5/2023

1.Wakristo ambao waliacha kupokea  na hawako kwa ndoa na wangetaka kuanza kupokea Sakramenti Takatifu, wanaombwa kuona Padre kwa ofisi siku na masaa ya kazi au, wapinge simu kujadiliana na Padre siku ingine yeyote wanaweza kupatikana.

2.Jumamosi ijayo (3/6/2023) ikiwa ni Jumamosi ya kwanza ya mwezi, ni siku ya maombi(recollection) kuanzia saa tatu asubuhi (9.00am) hadi saa sita mchana (12:00 noon). Hakutakuwa Misa ya asubuhi kama ilivyo kawaida.

3.Alhamisi tarehe moja June (1st June) ambayo Wakenya watasherehekea  Madaraka day, Misa itaanza saa tatu asubuhi (09.00am).

4.Jumapili ijayo tarehe nne June (4th June) vijana kutoka Ngong Cathedral Plan watatembelea kanisa yetu ili wawe na kikao maalum pamoja na vijana wetu. Vijana wote wanahimizwa kuhudhuria siku hiyo.

5.Kikundi cha Josil Ushindi (Singles Church Support) wanakubushwa mkutano wao baada ya hii Misa. Wakristo ambao ni single na wangetaka kujiunga na kikundi hiki wamekaribishwa.

6.Jumapili ijayo tarehe 4/6/2023 wahudumu kutoka hospitali ya Equity Afia, watatembelea kanisa letu kupeana vipimo tofauti tofauti kwa bei nafuu. Wakristo wanaombwa kuchukua fursa hii kujua hali ya afya yao.

7.Jumuiya service

1st Mass: St. Joseph the Worker                              1st Mass: St. Raphael

2nd Mass: St. Padre Pio                                               2nd Mass: Senior Youth

 

8. Matangazo ya PFC

ANNOUNCEMENT ON 28TH MAY 2023 ON THE DAY OF PENTECOST

ANNOUNCEMENTS: PENTECOST SUNDAY 28/5/2023

  • We have begun a registration for parishioners who would like to be readmitted into the Holy Sacrament of Eucharist. Those interest are requested to come and meet the Priest during office hours or make an appointment with him.
  • This coming Saturday (3/06/2023), being the first Saturday of the month there will be a parish recollection from 9am. All parishioners are welcome. There will be no morning mass that day.
  • Thursday 1st of June, will be a public holiday and Mass will be at 9am.
  • Next Sunday 4th June, the senior youth from Ngong Cathedral Plan will visit our church for an exchange programme with our youths. All the youth of our church are encouraged to be present on that day.
  • Josil Ushindi (Singles Church Support) Group will have a meeting today after second Mass at the balcony. New members are invited to join.
  • Next Sunday 4th June, Equity Afya- Kitengela branch will be offering a free medical camp for our Parishioners – Christians are encouraged take advantage of this opportunity to do body checkups.

 

Jumuiya service

1st Mass: St. Joseph the Worker                1st Mass: St. Raphael

2nd Mass: St. Padre Pio                                            2nd Mass: Senior Youth

 

PFC announcements

 

 

 

MATANGAZO 23RD MAY 2023

7TH SUNDAY OF EASTER: ANNOUNCEMENTS 20/05/2023

  1. This Sunday is World Communication Day. We thank God Our Father for letting us know continuously about his love and care for us and our Salvation in Jesus Christ and the Holy Spirit. On this World Day of Communication, we are reminded of our duty to support the diocesan projects for communication. We kindly request for a second collection for our diocese.
  2. On Saturday 27th May we will have the Opus Dei monthly Day of Recollection for ladies and gentlemen. The ladies begin at 8.00 am with the Sacraments of Reconciliation/ Confessions. The gentleman session will start at 2.00 pm. All are welcome.
  3. The Parish Senior Youth group will visit Sidon children’s home in Roysambu on the Saturday of the 27th May 2023 All youth are called upon to participate. They are also seeking our help and support in funding, foodstuffs clothing and prayer. All help is highly appreciated.
  4. The Commissioning of all church and group leaders will take place on Sunday 28th. Those to be commissioned are reminded to be present, dressed for the occasion, and bring with them their Bible and Holy Rosary and other required items.
  5. Today after 1st Mass, the Catholic Men Association will hold their training and seminar in the new building. All CMA members are invited.
  6. On 4th June, the senior youth from Ngong Cathedral will visit our church for an exchange programme with our youths. All the youth of our church are encouraged to be present on that day. Today they will also have a talk on mental health after Second Mass, they are all encouraged to remain behind.
  7. Josil Ushindi (Singles Church Support) Group are invited to their meeting coming Sunday 28th May 2023. New members are invited to join.
  8. We would like to thank our Jumuiya members and Parishioners who have already returned their tetra packs with their Lenten Campaign contributions. We urge all the Jumuiya Chairpersons to ensure that the remaining tetra packs are submitted through their respective Jumuiya treasurers to the CJPD desk after Mass. We urge everyone to ensure that these are received by 28th May. Those who did not get tetra packs can still make their contributions through our Church Paybill 4042525, Account No: “LENTEN”

 

**Invite CJPD Chair to give a brief overview on Lenten Campaign contributions.

 

**Invite the Parish Chair to introduce Church Communication Team.

Jumuiya service

Today                                                Next Sunday

1st Mass: St. Mary                          1st Mass: St. Joseph the Worker

         2nd Mass: St. Peter and Paul           2nd Mass: St. Padre Pio