JUMAPILI KUU YA MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO-11/06/2023

MATANGAZO:  JUMAPILI KUU YA MWILI NA DAMU YA YESU KRISTO – 11/06/ 2023

  1. Leo ni Jumapili ya fungu la kumi,kwa wakristo ambao wamejitayarisha na pia wale ambao wametuma fungu lao la kumi  kwa paybill ya kanisa  tunawaalika wajongee mbele kwa maombi na baraka.Tunapokuja mbele tunaombwa kuweka nia zetu pamoja na fungu la kumi tunalomtolea Mungu.Paybill ya kanisa ni 4042525 account Tithe.
  2. Leo, Kanisa linasherehekea Siku Kuu ya Mwili na Damu ya Kristo (Corpus Christi). Punde tu baada ya Misa hii, kutakuwa na ibada ya kumwabudu Bwana wetu Yesu Kristu, aliye hai katika Sakramenti Takatifu ya Ekaristi.
  3. Wakristo ambao waliacha kupokea  na hawako kwa ndoa na wangependa kurudi kupokea Sakramenti Takatifu, wanaombwa kuona Padre kwa ofisi siku na masaa ya kazi au, wapige simu kujadiliana na Padre siku ingine yeyote wanaweza kupatikana.
  4. Josil Ushindi group watakuwa na siku ya maombi Jumamosi ijayo tarehe 17/06/2023 kuanzia saa tatu asubuhi.
  5. Kikundi cha kina Baba (CMA) wanaalikwa kwa mafundisho yao Jumapili ijaya ya tarehe 18th June 2023 baada ya Misa ya kwanza
  6. Padre kutoka Lodwar atatembelea Parokia yetu Jumapili ijayo tarehe 18th Juni 2023. Kupongeza Wakristo kwa ukarimu ambao tumeonyesha   familia ya Lodwar na pia kuomba msaada ili aweze kuendelea kuhudumia wakristo wa Lodwar.  Wakristo wanakaribishwa kuchukua bahasha ambazo tutamkabidhi mgeni wetu Jumapili ijayo.
  7. Tumeanza usajili wa Watoto wachanga kwa ajili ya ubatizo. Wazazi wanaopenda Watoto wao wachanga wabatizwe wanaombwa kujiandikisha katika Jumuiya zao.

          Jumuiya service

            Jumapili Hii                                                               Jumapili Ijayo

1st Mass: St. Rita                                                      1st Mass: St. Gabriel

2nd Mass: St. Timothy                                              2nd Mass: CWA

 

Monthly Parish Recollection at St. John and Sylvia Acacia, Kitengela

Christ the Kingdom come! The monthly parish recollection day is scheduled to take place on the 3rd of June, from 9:00 am to 2:00 pm, at the St. John and Sylvia Church in Acacia. The event’s theme is based on Psalm 119:105, emphasizing the importance of divine guidance in our lives. This day of spiritual reflection and renewal is open to all Christians, who are warmly welcomed to participate.

During the recollection day, a series of activities have been planned to foster a deepening of faith and communion with God. The day will commence with the recitation of the Rosary, a powerful prayer that invites participants to meditate on the life of Jesus and seek the intercession of the Blessed Virgin Mary. Following this, there will be moments of reflection and adoration, allowing individuals to contemplate God’s word and experience His presence in a serene atmosphere.

Furthermore, the Sacrament of Confession will be available, offering an opportunity for spiritual healing and the forgiveness of sins. This sacrament enables individuals to reconcile with God and receive His grace. The day will culminate with a Holy Mass, a central act of worship in the Christian tradition. Through the celebration of the Eucharist, participants will unite in prayer and receive the body and blood of Christ, strengthening their spiritual bond with Him.

The monthly parish recollection day at St. John and Sylvia Church on the 3rd of June promises to be a spiritually enriching experience for all participants. With its theme centered around Psalm 119:105, the day will focus on the guidance and illumination that God’s word provides in our lives. Through the various activities such as the Rosary, reflection, adoration, confession, and Holy Mass, attendees will have the opportunity to deepen their faith, seek God’s forgiveness, and renew their commitment to living as Disciples of Christ. Christians from all walks of life are cordially invited to join this day of prayer, reflection, and fellowship as they continue their spiritual journey.