Matangazo ya Siku Kuu ya Pentekoste,28/05/2023.

MATANGAZO – PENTECOST SUNDAY 28/5/2023

1.Wakristo ambao waliacha kupokea  na hawako kwa ndoa na wangetaka kuanza kupokea Sakramenti Takatifu, wanaombwa kuona Padre kwa ofisi siku na masaa ya kazi au, wapinge simu kujadiliana na Padre siku ingine yeyote wanaweza kupatikana.

2.Jumamosi ijayo (3/6/2023) ikiwa ni Jumamosi ya kwanza ya mwezi, ni siku ya maombi(recollection) kuanzia saa tatu asubuhi (9.00am) hadi saa sita mchana (12:00 noon). Hakutakuwa Misa ya asubuhi kama ilivyo kawaida.

3.Alhamisi tarehe moja June (1st June) ambayo Wakenya watasherehekea  Madaraka day, Misa itaanza saa tatu asubuhi (09.00am).

4.Jumapili ijayo tarehe nne June (4th June) vijana kutoka Ngong Cathedral Plan watatembelea kanisa yetu ili wawe na kikao maalum pamoja na vijana wetu. Vijana wote wanahimizwa kuhudhuria siku hiyo.

5.Kikundi cha Josil Ushindi (Singles Church Support) wanakubushwa mkutano wao baada ya hii Misa. Wakristo ambao ni single na wangetaka kujiunga na kikundi hiki wamekaribishwa.

6.Jumapili ijayo tarehe 4/6/2023 wahudumu kutoka hospitali ya Equity Afia, watatembelea kanisa letu kupeana vipimo tofauti tofauti kwa bei nafuu. Wakristo wanaombwa kuchukua fursa hii kujua hali ya afya yao.

7.Jumuiya service

1st Mass: St. Joseph the Worker                              1st Mass: St. Raphael

2nd Mass: St. Padre Pio                                               2nd Mass: Senior Youth

 

8. Matangazo ya PFC

ANNOUNCEMENT ON 28TH MAY 2023 ON THE DAY OF PENTECOST

ANNOUNCEMENTS: PENTECOST SUNDAY 28/5/2023

  • We have begun a registration for parishioners who would like to be readmitted into the Holy Sacrament of Eucharist. Those interest are requested to come and meet the Priest during office hours or make an appointment with him.
  • This coming Saturday (3/06/2023), being the first Saturday of the month there will be a parish recollection from 9am. All parishioners are welcome. There will be no morning mass that day.
  • Thursday 1st of June, will be a public holiday and Mass will be at 9am.
  • Next Sunday 4th June, the senior youth from Ngong Cathedral Plan will visit our church for an exchange programme with our youths. All the youth of our church are encouraged to be present on that day.
  • Josil Ushindi (Singles Church Support) Group will have a meeting today after second Mass at the balcony. New members are invited to join.
  • Next Sunday 4th June, Equity Afya- Kitengela branch will be offering a free medical camp for our Parishioners – Christians are encouraged take advantage of this opportunity to do body checkups.

 

Jumuiya service

1st Mass: St. Joseph the Worker                1st Mass: St. Raphael

2nd Mass: St. Padre Pio                                            2nd Mass: Senior Youth

 

PFC announcements